MICHONGO KAMILI

Sunday 2 March 2014

MSANII NI KIOO KWA JAMII!!! HAKIKA WAHENGA WALINENA SAWIA






Wakati skendo mbalimbali zikiendelea kuwaandama mastaa mbalimbali akiwemo staa wa muziki wa bongofleva anaye waburuza wenzie kwa takribani miaka matano kama si manne sasa ambaye ana endelea kutamba na remix yake mpya MY NUMBER ONE aliyo fanya na mwanamziki anaye kuja kwa kasi aitwaye DAVIDO kutoka Nigeria
Blog hii imegundua kuwa maisha ya wasanii wakubwa kama huyu yamekuwa kama kioo kwa mashabiki zao wanao fatilia muziki wao, kutokana na hili mwana habari wa blog hii akaona ni wakati sasa wakuwa wapasha habari mastaa hao kajiepusha na skendo mbali mbali kwa kujihusisha kwao kuna pelekea asilimia kubwa ya wanajamii kupotea kimaadili na badala yake blog hii inawashauri wasanii hao kujaribu kwa dhati ya mioyo yao kuwa vioo bora vya jamii na waadhimie kuibadilisha jamii kupitia vibao vyao mbali mbali kama msanii huyu alivyo faulu kuwateka mashabiki wake kimavazi kama inavyoonekana kwenye picha mbalimbali …ni hayo tu! Na huu ndio MCHONGO KAMILI wa leo BY
MICHONGOKAMILI.BLOGSPOT.COM

No comments:

Post a Comment

0653830825

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...