MICHONGO KAMILI

Thursday 29 January 2015

TANGAZO MUHIMU: MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA

     
TANGAZO

MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA
JESHI LA KUJENGA TAIFA LINAPENDA KUWATAARIFU
VIJANA WATAKAOHITIMU KIDATO CHA SITA MEI 2015,
KUWA WATAJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT KWA
MUJIBU WA SHERIA KUANZIA JUNI 2015. ORODHA YAO
NA VIKOSI WATAKAVYOPANGIWA ITATOLEWA BAADA
YA MAWASILIANO KUKAMILISHWA KATI YA JKT NA
BARAZA LA MITIHANI LA TAIFA - NECTA.

AIDHA, JKT LINATOA UFAFANUZI KUWA, MAFUNZO YA
JKT YALIYOAHIRISHWA NI KWA WALIMU NGAZI YA
CHETI NA DIPLOMA WALIOKUWA WAJIUNGE NA
MAFUNZO HAYO MWEZI JANUARI HADI MACHI 2015.

MAFUNZO YA JKT HAYAKUSITISHWA KAMA
ILIVYOANDIKWA KWENYE BAADHI YA VYOMBO VYA
HABARI PAMOJA NA MITANDAO YA KIJAMII.

TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA MAKAO MAKUU YA JESHI LA
KUJENGA TAIFA.

..................................MATOKEO KIDATO CHA NNE 2014/2015..........................................

USIKOSE MATOKEO YA FORM FOUR 2014/2015  AMBAYO YATAWEKWA  HAPAHAPA PINDI YATAKAPOTOKA TUUU   FEBRUARY HII


BOFYA HAPA KUPATA MATOKEO YALIYO AHIDIWA HAPO JUU


Sunday 25 January 2015

HII NDIO RATIBA YA MITIHANI KIDATO CHA SITA 2015 HAPA



NOTICE TO CANDIDATES


1.You are required to appear for the examination(s) at the centre(s) under which you are registered unless otherwise advised by the Council in writing.

2.You are required to observe all instructions given to you by the Supervisor, Invigilators or Officers of the Council responsible for the conduct of the examinations.
3.If you arrive more than half an hour late for an examination, you will not be admitted.
4.You are required to attend punctually at the time shown on your timetable. If you arrive more than half an hour late for an examination, you will not be admitted.
5.After the first half-hour, you may leave as soon as you have finished your paper and handed in the script to the Supervisor/Invigilator. You may leave the room temporarily at any time after the first half hour but only with the permission of the invigilator.
6.You may bring into the examination room only instruments which are specifically permitted. If you are suspected of cheating or attempting to cheat, or assisting someone else to cheat, the facts will be reported to the Council. You may in consequence be disqualified from the examination and excluded from all future examinations of the Council. Any notes or other unauthorised material found in the examination room may be retained by the Council at its discretion.
7.ommunication, verbal or otherwise, between candidates is not allowed during the examination. If any candidate wishes to communicate with the invigilator he should raise his hand to attract attention.
8.You must write your examination number correctly on every answer sheet of the answer booklet/answer sheet used. Using anybody else’s examination number is considered a case of dishonesty that may lead to cancellation of examination results. Names, initials or any other mark that would identify a candidate should never be written on answer books or sheets of paper.
9.If you are found guilty of dishonesty in connection with the examination you may be disqualified in the entire examination.
10.You should not write any notes on your question paper. Use the last pages of your answer booklet to do rough work but ensure that you cross to indicate that it is not something to be marked.
11.You should not take anything from the examination room, unless instructed otherwise. You should not destroy any paper or material supplied in the examination room.
12.Write in blue or black ink or ball pen. Draw in pencil.
13.Smoking is not permitted in the examination room.
14.Private candidates should produce a letter from the Council allowing them to sit for the particular examination at the prescribed centre, otherwise they will not be allowed to sit for examination.


FORM ZA MALIPO YA ADA YA MITIHANI KWA WALIO FUNGIWA MATOKEO YA MITIHANI FORM TWO

NEW VIDEO YAMOTO BAND - NITAKUPWELEPWETA


MH, Rais J.M KIKWETE AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAWAZIRI.


Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.
Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.
Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.
Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi ambayo ilimshinikiza mwanasheria mkuu pia kujiuzulu.Nafasi ya Profesa Muhongo imechukuliwa na aliyekuwa naibu wa waziri wa ardhi, George Simbachawene
Rais Kikwete amewaapisha mawaziri hao wapya hii leo katika tangazo lililorushwa hewani na runinga ya taifa moja kwa moja.
Hii ndio orodha ya mawaziri walioteuliwa

MAWAZIRI

George Simachawene waziri wa nishati na madini

Mary Nagu- waziri wa nchi [afisi ya rais] mahusiano na uratibu

Christopher chiza -waziri uwezeshaji na uwekezaji

                              Harisson Mwakyembe[waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki]


                                       William Lukuvi -waziri wa ardhi nyumba na makaazi

Steven Wasira -waziri wa kilimo chakula na ushirika

Samwel Sita -waziri wa uchukuzi Jenista Muhagama -waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera uratibu na bunge

MANAIBU WAZIRI

Stephen Masele -naibu waziri afisi ya makamu wa rais muungano

Angela Kariuki -naibu waziri wa ardhi nyumba na makaazi

Ummi Mwalimu- naibu waziri wa katiba na sheria

Anna Kilango naibu waziri wa elimu na mafunzo ya kiufundi

Charles Mwijage-naibu waziri wa nishati na madini

PROFESA MUHONGO AJIUZURU HUKU AKIJITETEA KUHUSU UHUSIKA WAKE ESCROW

 
Baada kuhusishwa na sakata la wizi wa mabilioni ya fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, Waziri wa Nishati na madini Profesa Sospeter Muhongo ameamua kumuandikia barua Raisi ya kujiuzulu wadhifa wake. "atakuwa kaambiwa tuuu"
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Profesa Muhongo ameelezea furaha yake ya kupatikana kwa maendeleo ya haraka katika wizara yake kwa kipindi chake akisema kuwa nidhamu na uwajibikaji vilikuwa dira ya maendeleo wizarani hapo.  "kujisifu" ,
Profesa Muhongo amekwenda mbali zaidi na kueleza kuwa anaamini kujiuzuru kwake kutaisaidia Serikali na Bunge kutuliza malumbano ya Sakata hilo ambalo linazidi kurudisha nyuma maendeleo ya nchi.
Amesema yeye si mwizi na hawezi kuuza utu wake kwa kupewa rushwa ili kuwakandamiza watanzania. "kweeeli???"
“Nimeamua kujiuzuru kwa dhati kabisa bila kushinikizwa na mtu yeyeote, inaonekana mimi ndiyo nitamaliza mjadala huu wa sakata la Escrow, tuna mambo mengi ya kitaifa yanayotakiwa kujadiliwa lakini watu wamekazana na Escrow, nimemuandikia Rais barua rasmi ya kujiuzuru wadhifa wangu, amesema Profesa Muhongo. "bora!!"
Amesema pamoja na kujiuzuru anatarajia mapema kuzungumza na watanzania ili kuwaeleza ukweli wa sakata la Escrow na kujiuzuru kwake ili kuvunja majungu yanayoendelea kuitesa Tanzania na watu wake.
Amesema yeye amelelewa katika malezi yenye maadili mema na kwamba tokea alipomaliza masomo yake aliaswa kutopokea ama kutotoa rushwa hivyo hawezi akapokea rushwa kwa ajili ya kuutukana utu wa mtanzania hicho ndicho kinachomgharimu."laaabda"

Source: MWANACHI (Gazeti)

Wednesday 21 January 2015

TIMU NNE ZA ULAYA ZINAWANIA SAINI YA MSHAMBULIAJI MBWANA ALLY SAMATTA

Kwa namna moja au nyingine Huenda uukawa ni mwaka wa neema kwa mshambuliaji Mbwana Samatta wa TP Mazembe kwa kuwa timu nne za Ulaya zimeonyesha nia ya kumchukua.
http://soka360tz.files.wordpress.com/2013/07/capture-20130627-082245.png
Habari za chinichini kutoka vyombo mbalimbali vya habari vya ndani na nje zinachombeza  kuwa, timu nne zimeanza mchakato wa kuwania saini ya mkali wa TP Mazembe SAMATTA, kati ya hizo ambazo ni kutoka katika nchi za Ufaransa na Italia, zimeonyesha nia ya kufanya kazi na mshambuliaji huyo Mtanzania.
“Kweli tunayajua majina ya timu nne, kumekuwa na mawasiliano kupitia meneja wake Tanzania pamoja na uongozi wa TP Mazembe,” kilieleza chanzo kutoka Ufaransa.
“Tusingependa kuanza kueleza kila kilichopo kwa sasa wala kuzitaja timu zenyewe, lakini tunaamini Samatta anaondoka Mazembe msimu huu.” Alisema tajiri wa TP Mazembe Billionea  KATUMBI.
Baada ya taarifa hizo, juhudi zilifanywa na baadhi ya social media ili kumpata meneja wake, Jamal Kisongo ambaye alitoa ushirikiano.
“Kweli kuna timu zinamhitaji, kama nilivyokueleza awali Mbwana si mtu wa kwenda kufanya majaribio, badala yake kujiunga na timu na kuanza kazi.
“Sasa kinachofanyika ni taratibu na nimekuwa na mawasiliano na uongozi wa TP Mazembe, hivyo vuteni subira kidogo,” alisema Kisongo akionyesha kujiamini kuhusiana na mchezaji wake huyo.
Samatta yupo jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mapumziko na amekuwa mchezaji tegemeo wa kikosi cha Mazembe.
Awali ilielezwa, mmiliki wa TP Mazembe, Moise Katumbi, alikuwa akifanya juhudi kuhakikisha Samatta anabaki Lubumbashi, DR Congo, lakini Kisongo amehakikisha anakwenda mbele zaidi ili kupata mafanikio zaidi.

Monday 19 January 2015

WANAFUNZI WA SHULE YA PRIMARY WAANDAMANA KULINDA ARDHI YAO KENYA.

Jeshi la Polisi nchinikenya katiika mji mkuu Nairobi leo limewafyetulia gesi ya kutoa machozi wanafunzi wa shule ya msingi waliokuwa wakiandamana kupinga unyakuzi wa ardhi waliyokuwa wanatumia kama kiwanja cha kuchezea na mmiliki binafsi.

 

Polisi hao wakiwa na Mbwa waliwatawanyta wanafunzi hao, baadhi yao wakisemekana kuwa watoto wenye umri wa miaka sita baada ya kuuangusha ukuta mpya uliojengwa kati ya shule yao na uwanja huo.
Wanafunzi hao walikuwa wamerejea shuleni Lang'ata baada ya mgomo wa wiki mbili wa walimu wa shule za umma walipopata kiwanja chao kikiwa kimeuzwa na hata kuwekwa uzio.
Shule hio ina karibu watoto 1,000 walo kati ya umri wa miaka mitatu na kumi na minne na inasimamiwa na baraza la jiji.
 
Wanafunzi kadhaa walijeruhiwa katika purukushani hilo wakati polisi walipoingilia kati na kujaribu kuwatawanya wanafunzi hao waliokuwa wanazua rabsha.
Baadhi yao walipelekewa hospitalini baada ya kupata majeraha madogomadogo.
Baadhi ya wanafunzi hao walikabiliana na polisi wakiwa wamebeba vijiti na kuwanyoshea.
Polisi mmoja alijeruhiwa baada ya kupigwa kwa mawe.
Walimu wa shule hio pia waliandamana wakisaidiwa na wanaharakati wa kisiasa.
Haijajulikana ambavyo mtu huyo aliweka uzio katika kiwanja hicho walichokuwa wakitumia wanafunzi kuchezea.
 
araza la jiji limesema kuwa ardhi hio ni ardhi ya serikali ingawa halijazungumzia ambavyo ardhi yenyewe iliuzwa ingawa wanaharakati wanasema kiwanja hicho kimeuzwa kwa tajiri anayepanga kukitumia kwa ujenzi.

 source - BBC SWAHILI

CONGRATULATION MY FANS WE HIT 10000 VIEWS TONIGHT ...YEHOOOOOOO!!!!!

BARNABA FT MR.BLUE NI HATAAAARIIIIII


ARSENAL 2 - 0 MAN CITY

Arsene Wenger
City and Arsenal played out a thrilling 2-2 draw when they met at Emirates Stadium in September but this contest was not as free-flowing as that encounter.
Beforehand the focus had been the influence of Alexis Sanchez and Sergio Aguero for Arsenal and City respectively.
Aguero had only returned from a month out with a knee ligament injury as a substitute in City's 1-1 draw with Everton a week ago, and the Argentina international was relatively subdued by his standards.
Play mediaSergio AgueroInstead it was Cazorla, 30, who was the game's outstanding attacking player and it was fitting that he was to have such an influential role
The pressure was on City to beat the Gunners after leaders Chelsea beat Swansea 5-0 in such imperious fashion at the Liberty Stadium on Saturday.
But without Yaya Toure, who is at the Africa Cup of Nations with Ivory Coast, they lacked a player to orchestrate and dictate the game in midfield.
Arsenal went close when Alex Oxlade-Chamberlain escaped down the right flank and picked out Giroud but his header was deflected wide by Kompany.
Play mediaMonreal played a one-two with Giroud and the Spain left-back went down after his run was blocked by Kompany, who looked rusty in his first match since 13 December having recovered from a hamstring  Vincent Kompany
Cazorla sent the spot-kick low to Joe Hart's left and even though the City goalkeeper dived the correct way he was unable to get a hand on it.
Arsenal packed men behind the ball in the remainder of the first half, which stifled City's creativity with Aguero frequently outnumbered and rarely having the chance to run at players.
City manager Manuel Pellegrini replaced James Milner with Stevan Jovetic at half-time and his side had more impetus immediately after the interval with two up front.
An angled shot from Jesus Navas was beaten away by Arsenal goalkeeper David Ospina, and the Spain winger teased a cross into the box on the hour mark but Laurent Koscielny made a crucial interception.
Despite City's pressure, it was Wenger's side who scored next when Cazorla lifted a free-kick into the penalty area and Giroud escaped his marker and took advantage of a disorganised City defence to head past Hart.
 David Ospina

SOURCE- BBC

UPINZANI DRC: KATIBA YAPINDULIWA

Bunge la DRC Hivi ndivyo kila mwafrika wasasa anavyo waza mapinduzi ........Wabunge wa Jamhuri ya Demokrasi ya Congo wamekubali mswada ambao wadadisi wanasema unakusudiwa kumpa Rais Joseph Kabila idhini ya kubaki madarakani, baada muhula wake wa pili kumalizika.
Mswada huo unapendekeza kufanywe sensa ya taifa kabla ya uchaguzi ambayo serikali inasema inaweza kuchukua miaka kadha kukamilisha.
Rais Kabila anamaliza muhula wa pili mwaka ujao.
Katiba ya nchi haimruhusu kugombea muhula wa tatu.
Mwandishi wa BBC mjini Kinshasa anasema wabunge wengi wa upinzani walisusia kura hiyo ya bunge, na kuielezea kuwa mapinduzi ya katiba.

Source-BBC swahili

CHIDI BENZI (CHUMA) REMINDING THE FANS ON HOW HE CHANGED THE GAME OF MUSIC IN TZ

"Luqman ananambia wangapi wanaharibu na hawazungumziwi,akanikumbusha nimewai imba hivi nani alisema maneno yanaua,mimi ndio nimefanya Bongo freva kuwa biashara,mimi ndie nimefanya wasanii wapendeze na walipwe pesa,mimi ndie nilieonyesha kama unaweza kukusanya wasanii pamoja na ukawatoa mmoja mmoja..nimefanya mengi na kwa jasho langu wametoka wengi,zile collabo zilifanya nionekane mkubwa zaidi,watu walikua wakiniskia tu bila kuniona,mimi ni mziki kwenye huu mziki,Wakazi alinambia chidi unazungumza mambo yako tu kwenye nyimbo na watu wanapenda,usinichukulie poa na usinifananishe,na silogi wala siamini mitishamba,mamake boss mwenyewe msanii mwenyewe.sishiki gitaa wala similiki studio ila nina sauti,nguvu na nyota.Me"
SOURCE-Facebook account of chidi benzi

OMG!!! HE IS A MAN!!! DOES ANYBODY KNOW WHAT THE HELL HAAPENED??????

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...