MICHONGO KAMILI

Thursday 27 March 2014

HATIMAYE MABAKI YA MALAYSIA AIR LINE YAPATIKANA KUSINI MWA BAHARI YA HINDI

VIDEO IKIMUONYESHA BWANA HISHAMMUDIN HUSSEIN AKITOA UFAFANUZI



Nisiku ishirini sasa tokea ndege ya Malaysia air line ipotee na msako mkali umekuwa ukiendelea katika fukwe za china na Malaysia ambako ndipo ndege hiyo ilipokuwa ikihofiwa kupotelea. Hivi karibuni satelaiti za Australia ilipata picha inayo onyesha vipande viwili vinavyosadikika kuwa ni vipande vya mabaki ya ndege hiyo inayo hisia kuwa imepata ajari kataka fukwe hizo, mapema baadae satelaiti za china nazo zili ripoti kuwa zime pata picha inayo onyesha kipande kimoja kikielea karibu na fukwe za china upande wa bahari ya hindi.
Lakini juma tano ya tarehe 26 waziri wa ulinzi wa Malaysia bwana Hishammuddin Hussein aliwaita waandisha wa habari na kuwambia kuwa satelait za ufaransa nazo zilitoa taarifa iliyoambatana na picha ikionyesha vipande 112 vilivyo karibiana vikielea katika bahari ya hindi upande wa kusini, vipande hivyo vikiwa vimeachana kwa umbalai wa yadi 25 kutoka kimoja hadi kingine bwana Hishammuddin Hussein aliongezea kwakusema kuna vingine vilionekana viking’aa sana nah ii inaashiria ni vitu vigumu kama mabati au plastiki,picha hizo zilipigwa na kampuni hiyo ya kifaransa siku ya jumapili kwa kutumia satelaiti 5 zilizokusanywa pamoja ilikufanya zoezi hilo. hii imekuwa ni dalili kubwa zaidi kuliko dalili zote zilizowahi kutokea kuhusiana na uwezekano wa ndege hiyo kuwa ilipata ajari katika bahari ya hindi, nduga na jamaa waliokuwa na ndugu katika ndege hiyo wame kataa kabisa ushahidi huo na wameandamana katika miji ya china na Malaysia wakitaka kutafutwa kwa “BLACK BOX” kifaa kinacho tunza kumbukumbu kuhusiana na matukio yote yaliyokuwa yakiipata ndege hiyo, japo kuwa ianahisiwa kuwa kifaa hicho huenda kilipata hitilafu katika “power source” yani chanzo chake cha nishati au kuishiwa na betri na kushindwa kufanya mawasiliano na kupelekea ndege hiyo kupotea kwanye rada mara kabla ya kudondoka katika bahari Ya hindi. na Kwa upande wa pili serikeli za china,Malaysia,marekani na japan zimepeleka vikosi vyao katika eneo hilo,

Wanamahesabu wana kadiria kuwa ndege hiyo inawezekana ikawa imedondoka maili 1,500 kutoka katika fukwe za Australia hivyo hii imepelekea kupunguzwa kwa uneo la uchunguzi hadi karibu na eneo hilo lililopo karibu na fukwe hizo za Australia..NI HAYO TU!!
MICHONGOKAMILI.BLOGSPOT.COM

Monday 24 March 2014

SHILOLE AJA TENA NA NGOMA MPYA - CHUMABUZI

KWA MUJI WA SHISHI YAANI SHILOLE ANASEMA NGOMA HII AMETOA ISIPIGWE KWENYE TV STESHENI KWASABABU NI "EXPLICITY VERSION" KWA WENYE MIAKA 18 NA KUENDELEA TU!!!!!!  NA MKAE TAYARI KWA VIDEO YA KURUSHWA KWENE MEDIA.
MICHONGOKAMILI.BLOGSPOT.COM

Friday 21 March 2014

ITS THE HOTTEST UEFA QUATER FINALS ONCE AGAIN 2014 IN LISBON



European champions Bayern Munich will play Manchester United in the Champions League quarterfinals.

WAKICHAGUA TIMU - VIDEO
...........
GettyImagesMoyes will face Guardiola's all-conquering Bayern in his first ever Champions League quarterfinal.
Bayern dispatched Arsenal in the last-16 and will now seek to beat United, whom they defeated at this stage of the competition en route to the final in the 2009-10 season. United, victors against Bayern in the 1999 final, will have to spring an upset to keep alive any hope of major silverware in David Moyes’ debut season.
Bayern sporting director Matthias Sammer warned his players not to be complacent despite United’s disappointing form.
“In the last 16 return leg, they showed they are capable of great things. On good days, they are extremely dangerous,” he said on the club’s official Twitter account. “We must not allow them to have two good days. I think the draw is doable, but also dangerous.”
We've met @FCBayern nine times before in Europe, winning two games, drawing four and losing three. #MUFCBAYERN
— Manchester United (@ManUtd) March 21, 2014
Real Madrid, meanwhile, will look to make amends for their defeat to Borussia Dortmund in the semifinals of last year’s competition as they attempt to maintain their charge towards a long-awaited 10th European crown.
Dortmund CEO Aki Watzke said the draw was unfortunate for his team, who had also played Madrid in the group stage last season.
“There was no easy draw, but it’s not that nice that we have to play them for the third time in 18 months,” he said. “We are rank outsiders. It’s the same [Madrid] team, really. They’ve swapped [Gareth] Bale for [Mesut] Ozil but Real, alongside Bayern Munich, are the best team in Europe right now. It’s very difficult task indeed.”
Dortmund, who have endured severe injury problems this season, will also be without star striker Robert Lewandowski for the game at the Bernabeu after he was controversially booked in the last round against Zenit St Petersburg.
“Lewandowski’s absence in the first leg is bitter, even more so because it was a laughable decision,” Watzke added. “Real have a lot of respect for Lewandowski.”
 this news is in respsct of CHAMPIONSLEAGUE.COM
MICHONGOKAMILI.BLOGSPOT.COM

Wednesday 19 March 2014

Unanichora - Ben Pol & Fundi Samweli

MISTARI YA MTANZA HURU YASUMBUA VICHWA VYA MAKACHERO


Jina halisi anaitwa babuu nixt akiwa anatumia jina la kisanii “b.o.t” aliamua kuingia studio inayo julikana kwa jina la “5records” kufanya nyimbo inayokwenda kwa jina la MTANZA  HURU  huku akimshirikisha staa flani hivi wa mzikihapa bongo lakini kutokana na mistari iliyopo katika nyimbo hii msanii huyo

alishikiliwa na askari na ikabidi mmiliki wa nyimbo yani B.O.T aitwe nakuyazungumza na askari hao lakini kupitia msaada wa mwanasheria flani hivimchongo ukawa umemalizwa kisheria lakini bado staa huyo aliye shirikishwa aliomba kipande chake kitolewe...na kama ilivyo ada B.O.T akajaribu kumtafuta mtu mwingine wa kuziba pengo hilo ndipo alipopatikana fundi SUPER ZEE na kuziba pengo hilo na kuiachia ngoma hii isumbue TZ, Ngoma yenyewe ni hii hapa chini.

Friday 14 March 2014

KUPOTEA KWA NDEGE YA MALAYSIA AIR LINE BADO NI KITENDAWILI


Ni takribani siku 7 sasa tangu ndege ya Malaysia air line ipotelee kusiko julikana mara baada ya kutoweka ghafla kwenye rada za vituo vya usimamizi wa  mambo ya anga vya Malaysia, ilipotea wakati ikiwa katika anga hewa la mashariki mwa fukwe za Malaysia au kusini mwa fukwe za china,

 ndege hiyo yenye namba MH370 ilipotea siku ya jumamosi ya tarehe 9 mwezi wa 3 mwaka huu 2014, ilipotea ikiwa na abiria 227 na wafanya kazi 12 kati ya abiria hao, kwa mujibu wa bwana Ronald Kenneth Noble ambaye ni   Interpol Secretary General, inasemekana kuna abiria wawili amabao walikuwa wakisafili ndani ya ndege hiyo kwa kutumia paspoti feki au za kugushi, hii imezua wazo kwa watafiti wa mambo kuwa kuna uwezekano ndege hiyo ikawa imetekwa na magaidi kwaajili ya kuitumia katika shughuri zao za kigaidi, hawa hapa chini ni abiria hao wawili wanao dhaniwa kuhusika na upotevu wa ndege hiyo kama walivyo tajwa na bwana  Ronald Kenneth Noble, japokuwa hakuna mwenye uhakika juu ya hilo hadi sasa.
Ni siku sita sasa tangu kupotea kwa ndege hiyo na serekali  za Malaysia na china zikishirikiana na serekali ya marekani zimekuwa zikifanya jitihada za kutafuta alama yoyote itakayoweza kuwaonyesha wapi ilipo ndege hiyo,

 inasemekana hadi serekali ya Malaysia ikaamua kutumia na waganga wa jadi ambao ni maarufu katika hiyo kama mganga huyu maarufu anaye itwa bwana Ibrahim Mat Zin
Siku mbili baada ya kupotea kwa ndege hiyo ilizuka habari kuwa kuna abiria wa ndege nyingine ameweza kupiga picha usiku kupitia dirishani ikionyesha cheche za moto katika uso wa bahari ya kusini mashariki mwa bara la asia na inawezekana ikawa ni Malaysia airline imedondoka katika usawa wa bahari na kuripuka moto lakini hii nayo ikabaki kuwa moja ya uzushi tu mara baada ya vikosi vya uokoaji kutembelea eneo hilo na kukuta hakuna chochote Zaidi ya meli na boti kadhaa,
Nadharia mbalimbali zinaendelea kutolewa na watu mbalimbali juu ya ilipo ndege hiyo, wengine wanasema inawezekana ikawa ni pembe ya Bermuda ambayo haipo katika ramani ya dunia, Bermuda ni maarufu kwa upotevu wa ndege na meli nyingi Zaidi duniani  pembe tatu hiyo inaundwa na  miji ya  Miami,San juan,PUERTO Rico pamoja na Bermuda yenyewe meli na ndege nyingi zilizopotelea humu zilipotea kwanza kwenye rada za control towers na baadae hazikupatikana hadi leo na hicho ndicho kinachowapa wasiwasi watu wanao isapoti nadharia hii,

 lakini nadharia hii imekosa nguvu baada ya kugundulika kuwa  maeneo hayo ndio maeneo yanayo ongoza duniani kwa kuwa na safari nyingi za majini na angani kwahivyo upoteaji wa vyombo hivyo unaweza kuwa ni kwa bahati mbaya tu! Na hivyo hakuna uhusiano wowote kati ya upoteaji wa ndege hiyo na pembe tatu ya Bermuda.
Nadharia nyingi zimekuwa zikitolewa ikiwemo ya kuvihusisha viumbe kutoka sayari nyingine na upoteaji kwani rada za kijeshi zilinasa kifaa cha umeme kilichosemekana kupita karibu na njia ya ndege hivyo kwa kasi ya kutoweza kunaswa na kamera za rada hizo,lakini hii pia imekosa ushahidi wakutosha .
Pamoja na nadhari zote hizo lakini bado ndege hiyo haijulikani ilipo hivyo wananchi wenye ndugu waliokuwa kwenye ndege hiyo wanamuomba mungu ndege hiyo ipatikane kama inavyoonekana hapa chini maelfu ya waislamu wa Malaysia wakiswali sala ya kuiombea ndege hiyo ipatikane
Na wakati huo huo vikosi vya uokoaji vya Malaysia,China na Marekani vikiendelea kupanua  maeneo ya utafutaji hadi maeneo ya Malacca.

macho ya ndugu hao yamejaa machozi na sura zao ni zenye huzuni kwa asilimia mia moja..


MUNGU SAIDIA KUPATIKANA KWA MH370
MICHONGOKAMILI.BLOGSPOT.COM

Monday 10 March 2014

MALAYSIA AIRLINES FLIGHT MH370 MIGHT BE IN BERMUDA




MALAYSIA AIRLINES FLIGHT MH370
  MIGHT BE IN BERMUDA


It's barely two days since Malaysia Airlines flight MH370 vanished in mysterious cirumstances, but already the conspiracy theories about its disappearance are rife.
Starting with this recenttragedy, IBTimes UK recalls a selection of similar stories regarding aircraft-related incidents down the years.
Malaysian Airlines flight MH370 disappeared at 17:30 GMT Friday (01:30 local time Saturday) On route from Kuala Lumpur to Beijing. It reported disappeared from radar screens south of Vietnam. Malaysia Airlines had previously said it last had contact with air traffic controllers 120 nautical miles off the east coast of the Malaysian town of Kota Bharu.
Malaysian officials have said that radar signals suggest the plane may have turned back. The air and sea rescue teams that have been searching an area of the South China Sea south of Vietnam for more than 24 hours have now expanded their search to land on the west coast of Malaysia.
Air safety experts are investigating whether the Boeing 777 could have been the target of a terrorist attack. Malaysia's transport minister, Hishammuddin Hussein, said two names on the passenger list were "suspect". The passengers using stolen passports – one Italian and one Austrian – were both booked on the same onward flight from Beijing to Amsterdam on Saturday.

BUT onether question in the heads of hundreads is that "is it new bermuda triangle?" first let's start with

what is bermuda triangle?
The Bermuda Triangle, also known as the Devil's Triangle, is an undefined region in the western part of the North Atlantic Ocean, where a number of aircraft and ships are said to have disappeared under mysterious circumstances. According to the US Navy, the triangle does not exist, and the name is not recognized by the US Board on Geographic Names.[1] Popular culture has attributed various disappearances to the paranormal or activity by extraterrestrial beings. Documented evidence indicates that a significant percentage of the incidents were spurious, inaccurately reported, or embellished by later authors. In a 2013 study, the World Wide Fund for Nature identified the world’s 10 most dangerous waters for shipping, but the Bermuda Triangle was not among them,
The first written boundaries date from an article by Vincent Gaddis in a 1964 issue of the pulp magazine Argosy where the triangle's three vertices are in Miami, Florida peninsula; in San Juan, Puerto Rico; and in the mid-Atlantic island of Bermuda. But subsequent writers did not follow this definition, Some writers give different boundaries and vertices to the triangle, with the total area varying from 1,300,000 km2 (500,000 sq mi) to 3,900,000 km2 (1,500,000 sq mi). Consequently, the determination of which accidents have occurred inside the triangle depends on which writer reports them. The United States Board on Geographic Names does not recognize this name, and it is not delimited in any map drawn by US government agencies.
The area is one of the most heavily traveled shipping lanes in the world, with ships crossing through it daily for ports in the Americas, Europe, and the Caribbean Islands. Cruise ships are also plentiful, and pleasure craft regularly go back and forth between Florida and the islands. It is also a heavily flown route for commercial and private aircraft heading towards Florida, the Caribbean, and South America from points north.


MICHONGOKAMILI.BLOGSPOT.COM
Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...