MICHONGO KAMILI

Monday 19 January 2015

CHIDI BENZI (CHUMA) REMINDING THE FANS ON HOW HE CHANGED THE GAME OF MUSIC IN TZ

"Luqman ananambia wangapi wanaharibu na hawazungumziwi,akanikumbusha nimewai imba hivi nani alisema maneno yanaua,mimi ndio nimefanya Bongo freva kuwa biashara,mimi ndie nimefanya wasanii wapendeze na walipwe pesa,mimi ndie nilieonyesha kama unaweza kukusanya wasanii pamoja na ukawatoa mmoja mmoja..nimefanya mengi na kwa jasho langu wametoka wengi,zile collabo zilifanya nionekane mkubwa zaidi,watu walikua wakiniskia tu bila kuniona,mimi ni mziki kwenye huu mziki,Wakazi alinambia chidi unazungumza mambo yako tu kwenye nyimbo na watu wanapenda,usinichukulie poa na usinifananishe,na silogi wala siamini mitishamba,mamake boss mwenyewe msanii mwenyewe.sishiki gitaa wala similiki studio ila nina sauti,nguvu na nyota.Me"
SOURCE-Facebook account of chidi benzi

No comments:

Post a Comment

0653830825

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...