MICHONGO KAMILI

Sunday 13 April 2014

ALAZWE MAALI PEMA PEPONI REJENDARI MAALIM GURUMO




inna lilah wainna ilaih rajiun...Ni mzee wa siku nyingi sana kwenye
muziki Tanzania ambae aliwahi
kuingia kwenye vichwa vya habari
mara nyingi hasa kutokana na
kuugua kwake kuliko mfanya asitaafu
kabla ya kuzawadiwa gari na
mwanamziki wa kizazi kipya
“Nasibu” au Diamond
Taarifa zilizothibitishwa na hospitali
ya Taifa Muhimbili  zimesema Mzee huyu
amefariki dunia akiwa hospitalini
hapo leo April 13 2014 saa nane
mchana baada ya kupelekwa  jana
asubuhi na kulazwa kwenye wodi
namba 6 ya Mwaisela kutokana na
kuzidiwa.
Tayari mwili wake umepelekwa
kwenye chumba cha kuhifadhia maiti
msiba upo nyumbani kwa marehemu Tabata makuburi
na mimbango ya mazishi itafanyika hapo.
Blog hii inatoa pole kwa wafiwa wote na
wapenzi wa muziki mzuri uliokuwa ukifanywa na
mzee wetu Maalim gurumo
MUNGU AILAZE MAHALI PEMA
PEPONI ROHO YA MAREHEMU
MAALIM GURUMO
“AMIN"

No comments:

Post a Comment

0653830825

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...