MICHONGO KAMILI

Saturday 26 April 2014

SHEREHE ZA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR ZAFANA.




Sherehe za muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizo fanyika katika uwanja wa zamani wa taifa zimefana sana kwa halaiki na maonyesho ya kijeshi yaliyofanywa kuanzia asubuhi hadi mchana huku mgeni rasmi akiwa raisi wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, sherehe hizo zimefanyika huku mwenyekiti wa bunge maalum la katiba akiwa ameahirisha shughuri za bunge hilo ili kupisha bunge la kujadili bajet liendelee na shughuli hiyo hadi mwezi wa nane ndio bunge maalum la katiba litaendelea.

No comments:

Post a Comment

0653830825

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...