MICHONGO KAMILI

Saturday 6 December 2014

NA HII NDIO LIST YA WANAUME ALIOWAHI KUWA NAO ZARI ! KABLA YA DIAMOND.!! LOL BORA WEMA ASEEEEE!!

Ingawa mwenyewe amekuwa akikanusha kila kukicha, mrembo tajiri mwenye maskani yake nchi jirani ya Uganda na Afrika Kusini, Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady, anadaiwa kuwa na mtungo mrefu wa wanaume ambapo kama ni kweli anatoka na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ basi jamaa huyo atakuwa anashika nambari 13.
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na  Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady.

Zari akiwa amebeba tuzo za Diamond nchini Afrika Kusini.


Zari au The Boss Lady akiwa na aliyekuwa mumewe Ivan Semwanga.


Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady akiwa na Farouk Sempala.
.
Zari au The Boss Lady akiwa na Staa wa mpira wa kikapu nchini Uganda Isaac Lugudde.

Weasel.

No comments:

Post a Comment

0653830825

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...