MICHONGO KAMILI

Saturday 21 February 2015

MATWEATHER AKUBALI KUZICHAPA NA PACQUIAO


Mwanamasumbwi raia wa Marekani Floyd Mayweather Junior ametangaza kuwa pigano lililosubiriwa kwa siku nyingi na mwanamasumbwi raia wa ufilipino Manny Pacquiao litafanyika mjini Las Vegas tarehe mbili mwezi Mei mwaka huu

Pambano hilo kati ya mabingwa hao wa unazi wa welterweight limekuwa likisubiriwa kwa miaka mitano.




Baada ya mazungmzo ya muda mrefu hatimaye kandarasi imetiwa sahihi.

Pigano hilo litakuwa la gharama kubwa zaidi ya historia ya dola milioni 250.

Wawili hao wanatajwa kuwa bora zaidi katika ndondi za uzani huo duniani.

habari kwa niaba ya BBC Swahili

No comments:

Post a Comment

0653830825

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...