MICHONGO KAMILI

Monday 30 December 2013

NEY WA MITEGO NI FREEMASSON?

 FREEMASSON NA NEY WA MITEGO !!!!!!!
Blog hii kwa mara ya kwanza imeamua kukuletea jambo ambalo limekuwa gumzo sana midomoni mwa watu.......ni kuhusu uwepo wa dini ya kishetani iitwayo freemasson,inasemekana kuwa  uwepo wa dini hii ume kuwa ni wa kificho sana ....lakini kwa ushahidi mbakli mbali inaonyesha kuwa dini hiyo ipo na ina endesha shughuri zake ulimwengu mzima... ushahidi mmoja wapo ni uwepo wa freemasson hall mjini dar es salaam maeneo ya posta ambalo ni hili hapa chini kama lionekanavyo kwenye picha..
inasemekana dini hiyo imekuwa ikiwashawishi wasanii wakubwa ambao ni kioo cha jamii ili kujiunga na dini hiyo ili kuwa poteza mashabiki wa msanii hao, baadhi ya wasanii wamewa wakitajwa kujihusisha na dini hiyo majina kama DIAMOND PLATNUMZ  na  NEY WA MITEGO yamekuwa yakitamkwa sana mitaani huku yakihusishwa sana na dini hiyo huku sababu kubwa ikiwa ni matendo yao,maneno,skendo,na alama tofauti tofauti ambazo wamekuwa wakizionyesha kwenye mausha yao ya muziki,,,,,,,je   kuna  ukweli  wowote? kwa leo  tutaanza  na ushahidi kadhaa uliokusanywa na blog hii kuhusu msanii ney wa mitego....
Ney wa mitego ametokea kuwa nsanii aliye teka sana soko la muziki wa hip hop hivi karibuni lakini amekuwa akipunguza mashabiki kutokana na skendo mbalimbali kama hii inayo onekana hapa chini.

Tukiachana na skendo hizo bado kume kuwa na alama mbali mbali ambazo msdanii huyo amekuw akizionyesha kwenye video zake huku aki tamka maneno ambayo yana mtambulisha yeye kama rafiki wa dini hiyo kwa mfano kwenye nyimbo yake maaru iitwayo "NASEMA NAO" alimetoa sentensi kadhaa ambazo zina dhihirisha uhusika wake katika dini hi yo kwa mfano aliposema "unataka kwenda mbinguni huwezi fika bila mii" swali ni kwamba  yeye ni nani???? pia  mstari mwingine ni ule usemao "mimi ndo rafiki wa lucifer !! utanieleza nini " yeye ni rafiki wa LUCIFER  na lucifer ni mungu wa dini hiyo kama anavyo onekana hapa chini
pia amekuwa akionyesha alama mbali mbali ambazo ni alam,a za dini hiyo kama inavyoonekana hapa chini
hakuishia hapo pia katika video yake iitwayo "NASEMA NAO" ameonyesha alama hizo mara nyingi zaidi na kwakukusudia kabisa kwa mfano katika picha zifuatazo

je hii ni bahati mbaya? au ni swaga kama wasemavyo vijana wa mjini ambao wamekumbwa na mkumbo huo wa kuiga matendo ya wasanii wakubwa huku wakiita swaga!!!!!!! tuendelee!!

je na hii ni bahati mbaya? au bado ni swaga? sijui!!

  hatuhitaji kutumia miwani kuona alama hizi !!
huu ni ushahidi tu uliokusanywa na blog hii na halazimishwi mtu kukubaliana na ushahidi huu....
mhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!
mwishoni mwa nyimbo hiyo anasema hivi  "I represent my hood" lakini badala ya kuonyeshwa manzese anaonyeshwa akiwa na watu kadhaa ambao wamevaa mavazi ya kufunika ambayo inaaminika kuwa hutumika katika ibada za freemasson je? ana represent manzese au makundi ya watu hao? kilichoonyeshwa ni hiki!!!

haya ni mambo kadhaa tu anayo yafanya msanii huyun  nakufanya wengi waamini juu ya uhusika wake kwa dini hiyo ya FREEMASSON   Lakini vipi kuhusu DIAMOND?
Acha blog hii ikusanywe kwanza kisha itarudi jamvini kuwapasha yaliyomo!!!   ALLEVIDEH!

No comments:

Post a Comment

0653830825

Breaking News
Loading...

Search This Blog

LIKE PAGE ZETU ZA FACE BOOK

ZINGINE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...